nahtaji ushahuri

nahtaji ushahuri

fall in love

New Member
Joined
Jan 26, 2013
Posts
1
Reaction score
0
nimegundua mpenzi wangu anamahusiano na msichana mwingine, nilipomuuliza akadai ni kweli but wameshaachana kwa sasa, kumuuliz huyo msichana wake kaniambia bado wako wote na wanampango wa kutambulishana mwezi wa sita. cha kushangaa nikiongea na mchumba anaomba msaamaa na kudai alikosea na kupitiwa kutoka na huyo mdada but mimi ndo chaguo lake. nikimwabia kama ni kweli basi tukutane wote watatu na huyo dada ili aongea ili kupata uhakika zaidi na madai yake bt anakataa na kudai co picha nzuri na pia nicwaambie marafiki zangu kwanza... mimi simwamini tena naogopa kumsamehe coz atanihumiza zaidi... jamani bhandugu je uhamuzi niliochukua ni sahihi..?
 
pole sana,,,, me kwa mawazo yangu kutaneni nyote 3, then mtapata suluhisho juu ya hilo jambo utajua mbivu na mbichi:A S 39:
 
achana nae au hujionei huruma...utavegedwa na aende kua mwengine.
 
Kwanza kama ningekua mie hata kumpigia mwanamke mwenzangu simpigii,sababu atakalo kwambia sio unalotaka kulisikia
Kwani anayo peke yake? shosti samahani lakini kama huyo ndio unadhania ni mwanamme BADO hilo GUMEGUME,muache asije kukutoa roho..
 
image.jpg

Huu ndio ushauri wangu kwa leo........
 
Wadada mna kazi kweli, huwa wakati mwingine mnatung'ang'ania kama vile tumezaliwa pamoja.
Nimeshakuonesha kuwa sikuhitaji kwa kuanza kutoka na mtu mwingine, bado tu huelewi...
Unataka hadi tuwekane vikao, hivi haujui kuwa ninajaribu kukustahi nisije kukutosa mbele ya mpenzi wangu mpya ukaumia moyo zaidi...
 
Achana nae tu coz ashakwambia ukweli
 
Hiyo kitu ilishawahi kunikuta..! Nilipogundua tuu, wala sikuhitaji ushauri..! Niliondoka haraka bila kugeuka nyuma..!
Usipende kujipendekeza kwa mtu ambaye anaonekana kabisa hakuhitaji.! Mapenzi hayalazimishwi.. !
 
Japo huyo mwingine yawezekana amekuambia watatambulishana ili uvunjike moyo!
Maisha haya ni mafupi sana na unapaswa kuyafurahia responsibly. Si muda wa kujiombea tena kwa mtu.
 
si umuache mtu ushajua
kabisa unashare kitu na box?!!
au ndio ume fall in love mwenzetu?
mtemeeee shost!
 
Back
Top Bottom