zamkallytel
Member
- Jul 31, 2015
- 31
- 13
Hi
Naomba ushauri nataka kununua water pump ajili ya kilimo .
-eneo ni heka 2
-ainagani ni nzuri
-spea upatikanaji
-utumiaji WA mafuta
Majibu yatoke kwa wakulima au walio isha Fanya kilimo cha umwagiliaj.
Asanteni
Cheti changu cha f6 nataka nikakitumie bustanini
Naomba ushauri nataka kununua water pump ajili ya kilimo .
-eneo ni heka 2
-ainagani ni nzuri
-spea upatikanaji
-utumiaji WA mafuta
Majibu yatoke kwa wakulima au walio isha Fanya kilimo cha umwagiliaj.
Asanteni
Cheti changu cha f6 nataka nikakitumie bustanini