Nahitaji water pump!

Nahitaji water pump!

zamkallytel

Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
31
Reaction score
13
Hi
Naomba ushauri nataka kununua water pump ajili ya kilimo .

-eneo ni heka 2
-ainagani ni nzuri
-spea upatikanaji
-utumiaji WA mafuta

Majibu yatoke kwa wakulima au walio isha Fanya kilimo cha umwagiliaj.

Asanteni
Cheti changu cha f6 nataka nikakitumie bustanini
 
Unataka pump ya aina gani, submisaible au ya nje tu. Petrol au diesel?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom