Nafasi za (2) za waalimu
1: awe anafundisha Physics- ni sharti awe female
2: awe anfundisha Mathematics- ni sharti awe male
Sifa za mwombaji
Awe na elimu ya Diploma tu.
NB: Kwa walio na elimu zaid ya diploma hawaruhusiw ku-apply
Shule ya seminary (O-level) ipo mkoani Lindi. Kwa watakaopata nafasi watahitajika tarehe 5 January wawe wamereport.
NB: Kuhusu mshahara, ni maelewano kwa waliotayari.
Offer:
Waombaji,watapewa nyumba za kuishi, watahudumiwa kimatibabu vyote bure.
Kwa mawasiliano
0629836915
1: awe anafundisha Physics- ni sharti awe female
2: awe anfundisha Mathematics- ni sharti awe male
Sifa za mwombaji
Awe na elimu ya Diploma tu.
NB: Kwa walio na elimu zaid ya diploma hawaruhusiw ku-apply
Shule ya seminary (O-level) ipo mkoani Lindi. Kwa watakaopata nafasi watahitajika tarehe 5 January wawe wamereport.
NB: Kuhusu mshahara, ni maelewano kwa waliotayari.
Offer:
Waombaji,watapewa nyumba za kuishi, watahudumiwa kimatibabu vyote bure.
Kwa mawasiliano
0629836915
