Dulla Tawakal
Member
- Sep 10, 2022
- 86
- 106
- Thread starter
- #21
Ahsante mkuuKila la kheri
Ahsante mkuuKila la kheri
Nimependelea gari ,,sababu nina familia ,,so itanisaidia hata kutoka weekend,,hata kusafir mkoa piaKwann usichukue boda mpya mkuu uwe unapenya kwenye foleni maana kwa bajeti hyo gari utapata lkn itakusumbua sana
Hahahaha ni kwl swala la foleni ni changamoto hususani kwa mji wetu wa Dar ,,ila tunaamini ipo siku itabaki ni kumbukumbu ,, Lakin pendeleo langu kwa sasa Ni Gari mkuu ,,nilishawahi miliki pikipik huko nyuma AlhamdulilahKwa umbali wa kazini na nyumbani unafuu wako ni pikipiki hasa ATV (pikipiki tairi nne) ina usalama kidogo.
Ila kwa gari bado utakaa foleni za ajabu uwatamani waliosinzia kwenye daladala.
Ahsante sana mkuuHiyo ATV Quadbike hapati hata used Kwa budget hiyo. Bora apate gari atatumia na matumizi ya kifamilia
Bado mkuu sijapataUmeshapata?
Umepambana weee halafu unakuja kuta wife anagawa uroda sehemu...🤣🤣🤣Kaka we acha thu ,,ndo utumwa ndugu Yangu ,,mwanzoni nilibaki kdg nikate tamaa ,,sema nikiangalia familia ndo Ikawa inanipa nguvu Ya kupambana ,,, Yan kiufup muda wa kupumzika ni mdogo sana ,,ila ndo hakuna jinsi kwako ni kwako
duh mkuu vip tena unamtisha jamaaUmepambana weee halafu unakuja kuta wife anagawa uroda sehemu...🤣🤣🤣
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Namtupa mto wami akaliwe na mambaUmepambana weee halafu unakuja kuta wife anagawa uroda sehemu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Hahahah Jamaa huyuduh mkuu vip tena unamtisha jamaa
https://instagram.com/sossy_magari?igshid=YmMyMTA2M2Y= kuna mpak gari za 2million , kachukue upambane nalo mzeeBado haijapatikana wazee [emoji144][emoji144]
Akigawa sikagawa uroda wake.Mimi inanihusu nini? Na Mimi nilitaka nagawa wa kwangu.Umepambana weee halafu unakuja kuta wife anagawa uroda sehemu...[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijapata nipe kama unaloHujapata nikupe mzee.!