rama halavi
JF-Expert Member
- Nov 20, 2015
- 269
- 236
Una format?? Nenda kko mtaa wa uhuru kwa nyuma kuna printers kibao
Kwenye format namaanisha mna muundo ambao mnataka kitabu chenu kiwe nao?? Hiyo ndo format. Kama hauna nenda kule kule ukachague muundo unaotaka ambao utaendana na kikundi chenukiongozi sijaelewa kidogo kwenye hiyo Format, Tuna kikundi so nahitaji tutengenezewe vitabu vyetu tuondokane na kutumia madaftari au karatasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa hapo nimekusoma, Je hapo kariakoo mtaa wa uhuru unaponielekeza ni ofisi maalum au? na je naweza pata address yao vizuri au contact?Kwenye format namaanisha mna muundo ambao mnataka kitabu chenu kiwe nao?? Hiyo ndo format. Kama hauna nenda kule kule ukachague muundo unaotaka ambao utaendana na kikundi chenu
Nakupa nambaSawa hapo nimekusoma, Je hapo kariakoo mtaa wa uhuru unaponielekeza ni ofisi maalum au? na je naweza pata address yao vizuri au contact?
Sent using Jamii Forums mobile app
Shukran KiongoziMpigie huyo jamaaView attachment 984097
Amina
Owkey, We utanifaa zaidi nitext ur contactNdio Kazi Zangu Hizo, Tuwasiliane Tufanye Kazi Sio Vitabu Tu Natoa Ushauri Na Kuuza Masanduku Ya Vicoba Full Mkuu.
Exactly, Hivo ndio nahitaji kutengenezewa na pia nahitaji leja na Kitabu cha kumbukumbu za mwanachamaView attachment 984216
Sample Kama Ivyo Hapo Na Ukitaka Niku designie na jina la kikundi haina shida, TUWASILIANE MKUU
Hizo documents tunaweza kuzitengeneza kwa Mfumo huo huo wa Vicoba au hata wa mfumo rahisi wa HISA yaani VSL Ni Wewe Tu Upendavyo Mkuu
Hakuna Shida Mkuu
Nahitaji mimi piah ninakikundi changuView attachment 984216
Sample Kama Ivyo Hapo Na Ukitaka Niku designie na jina la kikundi haina shida, TUWASILIANE MKUU