Hakuna madhara jitunze mpaka utakampata the right one.Nini madhara yakutofanya mapenzi kutoka uzaliwe hadi kuwa na umri wa kama miaka 24? Nisaidieni wajuvi wa mambo haya.
hufanyi kwasababu uwezi kufanya au nini sababu ya wewe kutofanya tujue hayo ndo tukushauriNini madhara yakutofanya mapenzi kutoka uzaliwe hadi kuwa na umri wa kama miaka 24? Nisaidieni wajuvi wa mambo haya.
Kwanza kabisa, naona ni ujinga wa hali juu sana kumdanganya Msichana, pili naona akili yangu itapungua nguvu na ushawishi wangu pia utapungua kwenye jamii yangu.hufanyi kwasababu uwezi kufanya au nini sababu ya wewe kutofanya tujue hayo ndo tukushauri
Sababu zako nimezielewa unampango wa kuja kuoa badae?usinichoke na maswali yanguKwanza kabisa, naona ni ujinga wa hali juu sana kumdanganya Msichana, pili naona akili yangu itapungua nguvu na ushawishi wangu pia utapungua kwenye jamii yangu.