Nahitaji Toyota Harrier Old Model na budget ya 17M

Nahitaji Toyota Harrier Old Model na budget ya 17M

Wakuu kama kichwa cha habari kinavyo eleza
Naweza pata Gari hiyo kwa kuagiza kutoka Japan
Ikaja ikiwa vizuri kwa pesa hiyo.

Msaada tafadhali

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Inawezekana endapo utaagiza Wewe mwenyewe kupitia Kwa Dealer na utafanya malipo ya manunuzi mwenyewe, Kisha utamtafuta Clearing Agent muaminifu atakupa invoice ya Kodi na kukusaidia kutoa. Pesa ya manunuzi hakikisha unalipa mwenyewe na Kodi.

Clearing Agent utampa akitoa gari pesa yake+port charges+inspection TBS. Kwenye Harrier New Model(Tako la nyani) hizi cost Zina range kuanzia 1.2million
 
Mkuu, kama upo serious, weka namba ya simu kuna gari nyingi nzuri mtaani.
Kwa hiyo hela kuagiza ni ngumu kupata gari zuri mpaka likufikie. Ingia mtandao wa TRA angalia valuation uuajua ninachomaanisha.
 
Inawezekana endapo utaagiza Wewe mwenyewe kupitia Kwa Dealer na utafanya malipo ya manunuzi mwenyewe, Kisha utamtafuta Clearing Agent muaminifu atakupa invoice ya Kodi na kukusaidia kutoa. Pesa ya manunuzi hakikisha unalipa mwenyewe na Kodi.

Clearing Agent utampa akitoa gari pesa yake+port charges+inspection TBS. Kwenye Harrier New Model(Tako la nyani) hizi cost Zina range kuanzia 1.2million
Naam mzee,kama sisi !

Inawezekana kabisa
 
Back
Top Bottom