consigliare
Member
- Feb 8, 2018
- 38
- 49
Habarini wana JF!Je naweza pata wapi tende bora kabisa Tanzania kwa bei ya jumla? Natanguliza shukrani
Ok. Nashukuru..umejua ni kwanini hili box la kg 10 ni bei rahisi zaidi ya hilo la kg 5?Nenda mtaa wa Sikukuu na Mkunguni karibu na soko kuu la Kariakoo zipo tende kiasi unachotaka. Zipo kuanzia 50,000 kwa boksi la kilo kumi na pia zipo za 150,000 kwa box la kilo tano.