Nahitaji simu used ya kununua

Nahitaji simu used ya kununua

Daisa

Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
58
Reaction score
12
Yeyote anayeuza simu tuwasiliane isizidi 200,000/= na siyo zile za kichina,
 
daisa ncheki nna samsung galaxy s1 bt nauza 250000 haipungui..kama uko serious niPM.
 
wewe hela huna Instagram ya nini ? wewe una hela ya pikipiki unataka ununue gari. si utauziwa bovu jasho likutoke kwa kuwajua mafundi. cheap man buy cheap durable articles
 
Hahaahahhahh we sema huna simu ya bei hyo.. kwani laki 2 we unaona ndogo
 
wewe hela huna Instagram ya nini ? wewe una hela ya pikipiki unataka ununue gari. si utauziwa bovu jasho likutoke kwa kuwajua mafundi. cheap man buy cheap durable articles

Anataka pikipiki yenye kiyoyozi ndani! kwikwiiiio
 
Yeyote anayeuza simu tuwasiliane isizidi 200,000/= na siyo zile za kichina,

Kuna Samsung Nexus S inatakiwa 200,000 bei haipungui.
Kama unahitaji tuwasiliane hapa 0787577755.
 
Daisa. hizi simu zisizo na guaranteezitakuacha pabaya. Lakhi mbili mbona unapata kitu cha nguvu kaka na chenye guarantee. siku kipato kikipanda nawe utahamia kwenye hizo za bei mbovu. remember to cut your suit with the material in hand.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom