Nahitaji shamba Ruvu!!

nimbagonza

JF-Expert Member
Jun 15, 2015
1,023
716
Bila shaka mu wazima,msaada tafadhali nahitaji shamba la kununua au kukodi kwa ajili ya kilimo huko Ruvu,mwenye kujua chochote kuhusu mashamba huko tujuzane tafadhali!!
 
Mashamba ya kukodi yapo ila kwa msimu huu ambao mvua zinaanza march sidhani kama utaweza lima labda ulime zao ambalo linachukua mwezi mmoja yaani February uwe unavuna kwani maji ya mto ruvu hujaa kipindi cha msimu wa mvua na hakunaga kupitika kule au ukitaka upande mpunga ambao unahitaji maji sana huu ushauri tu mkuu

mm nipo ruvu jkt nalima huko na February naanza kuvuna karibu mashamba yapo meng tu ya kukodi ila kununua sikushaauri mkuu wewe kodi tu la kunnunua nunua pengine lakini sio ruvu
 
mashamba ya kukodi yapo ila kwa msimu huu ambao mvua zinaanza march sidhani kama utaweza lima labda ulime zao ambalo linachukua mwezi mmoja yaani February uwe unavuna kwani maji ya mto ruvu hujaa kipindi cha msimu wa mvua na hakunaga kupitika kule au ukitaka upande mpunga ambao unahitaji maji sana huu ushauri tu mkuu

mm nipo ruvu jkt nalima huko na February naanza kuvuna karibu mashamba yapo meng tu ya kukodi ila kununua sikushaauri mkuu wewe kodi tu la kunnunua nunua pengine lakini sio ruvu
Nataka kulima matikiti vp inawezekana,kwani kuna mtu ameniambia msimu wa kupanda ni mwezi wa nne? Je ni kweli? Na je kukodi shamba bei gani?
 
Nataka kulima matikiti vp inawezekana,kwani kuna mtu ameniambia msimu wa kupanda ni mwezi wa nne? Je ni kweli? Na je kukodi shamba bei gani?[/QUOT
kukodi shamba inategemeana sisi tulikodi kwa sh80,000 tulianza kulima mwezi wa tisa sasa sijui kikpindi hichi cha mwezi march na april kwani hatujawai kupanda miezi hii kule mvua zinaanza mwezi wa march na kunajaa maji sasa hapo ndo pagumu. kujibu ila nitakuulizia kwa wenyeji wa kule mkuu

mazao yanayolimwa kule ni mahindi, pilipili hoho, mbuzi, vitunguu, nyanya, matikiti, bamia, mbogamboga, yaani Chinese, matango na nk wewe tu utakachohitaji kulima kati ya mazao hayo
 
Bila shaka mu wazima,msaada tafadhali nahitaji shamba la kununua au kukodi kwa ajili ya kilimo huko Ruvu,mwenye kujua chochote kuhusu mashamba huko tujuzane tafadhali!!
0658 899 195, ni mzoefu pale Mlandizi na Ruvu
 
Mita 500 toka main road kuna nyumba kubwa imekamilika unaweza kufanya pia green house ama ufugaji ..eneo ni sq 4000...
Lingine liko mlandizi lina ekari 5 na nyumba na kila kitu
IMG-20200807-WA0068.jpg
IMG-20200807-WA0066.jpg
IMG-20200807-WA0067.jpg

Eneo jumla sq m 4000
Mt 500 toka main road
Kuna maji na umeme.
Nyumba vyumba 3 master 1
Sebule kubwa na jiko
Frem ya chuma mt 13×33
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom