Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
NJOO NIKUKODISHIE ENEO mpakan mwa kibaha na kisarawe panaitwa musese ni center kabisa,maji kibao tena ya bure kuna jamaa kapga green house huku balaa za nyanya na ufuta,nicheki 0624078252 AU 0764726071
NJOO NIKUKODISHIE ENEO mpakan mwa kibaha na kisarawe panaitwa musese ni center kabisa,maji kibao tena ya bure kuna jamaa kapga green house huku balaa za nyanya na ufuta,nicheki 0624078252 AU 0764726071
Njoo nikukodishie shamba ambalo lipo tayari limetifuliwa na kulimwa wewe unaanza kupanda mbogamboga zako unazo hitaji mkuu..lipo Bagamoyo Mtoni kwenye bonde la mto Ruvu na maji ni uhakika kutokana na mto ruvu
NJOO NIKUKODISHIE ENEO mpakan mwa kibaha na kisarawe panaitwa musese ni center kabisa,maji kibao tena ya bure kuna jamaa kapga green house huku balaa za nyanya na ufuta,nicheki 0624078252 AU 0764726071
Hello wana jf, kama kichwa cha habari hapo juu, nahitaji sehemu ya kilimo, nje kidogo ya dar es salaam, eneo kwa ajili ya mradi wa mboga mboga. Kama heka 1 hivi, nahitaji pawe na maji ya uhakika
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
lipo shamba la kukodisha ruvu jkt wanakodisha kwa shs 80,000/= kwa hekali 1 na limeshalimwa ila unarudisha charge ya wale waliolima kwani wao wameghairi kulima msimu huu je unahitaji hilo nikupeleke?
Njoo nikukodishie shamba ambalo lipo tayari limetifuliwa na kulimwa wewe unaanza kupanda mbogamboga zako unazo hitaji mkuu..lipo Bagamoyo Mtoni kwenye bonde la mto Ruvu na maji ni uhakika kutokana na mto ruvu