Nahitaji shamba la kukodi Morogoro.

Mkulima2002

JF-Expert Member
Joined
Oct 11, 2015
Posts
291
Reaction score
216
Habari wakuu..
naombeni msaada kwa mwenye taarifa ya uwepo wa mashamba ya kukodi mkoani Morogoro.. nahitaji sehemu ambayo:-

1} iko karibu na chanzo cha maji na
2} pia iwe na sifa ya kuweza kuotesha/kustawisha maharage ama mahindi...
3} bei ya kukodi kwa kila ekari ni shilingi ngapi....

Note: kama unafahamu naomba uweke taarifa wazi hapa ili kama kuna mtu anahitaji naye apate taarifa.

natanguliza shukrani wakuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…