Mkuu bujibuji, leo umeamua nini? au ndo yale mambo ya ..........kijani na roba, unavunja mbavu, halafu ni hiyo avator unaitendea haki maana nimjuavyo huyo jamaa kwenye comedyMki nauza misukule, kila msukule buku jero, itakusaidia sana kwenye kilimo
Nimeku pmNina heka 200 tukuyu kila heka 40elfu kama upo fresh ni pm....
Nahitaji pia mikoa mingine eka kuanzia 200-500 kama nitapata kwa bei nafuu (Mashamba mawili ya eka 200-500)Ukibadilisha maeneo niambie,mfano Kisarawe na mikoa ya kusini.utani PM
"VV"
Unauza shilingi ngapi? kuna vyanzo vya maji? Nitumie na picha.Ukitaka mikoa mingine ya rufiji kama wilaya ya Mkuranga just ni PM ninazo eka zaidi ya 500