bongobongo
Member
- Jul 28, 2015
- 82
- 30
Sorry ni 0758838701. Nilkosea namba
Nami natafuta kiwanja kiwe na ukubwa ufuatao. Upana usipungue mita 20 na urefu usipungue mita 30 na kisiwe ktk korongo wala mwinuko mkali, eneo la Kimara tu. Kutoka barabara kuu umbali usizidi kilomita 3. Bajeti yangu milioni 15. Call 0754747339
Mkuu mwaka gani hyo!?Mkuu usiogope hapa dar nnauzoefu wa kununua shamba kwa 600,000 na hati nnayo..so mil moja ni sawa kabisa
Wapi huko mkuu, na kwa shiling ngapi!?0715378899,Cc tun heka saba,tumelima nanac mihogo na korosho
Mkuranga sehemu gani mkuu!!?Usiwe mnyonge na milioni yako njoo Mkuranga nitakuonyesha mashamba ya hiyo pesa.Unaweza kupata hekari moja au mbili kulingana na sehemu lilipo.Utapatana na mwenye mali na hakuna udalali.
Ntakutafuta mkuukama aujapata bado nijulishe mkuu kiwanja kipo mbez mwisho unaingia ndan kidogo wanapaita ghoba mpakan ila n urefu 20 upana 16 maji umeme upo na kina msingi vyumba vitatu bei mill 3,,, mawasiliano 0712846799
Kimanzi_mkulanga pwaniMkuu mwaka gani hyo!?
Kimanzi_mkurangaMkuranga sehemu gani mkuu!!?
Njoo somanga kama ni kilimo hela hiyo nitakupa heka 3 na kuzid kidogo hakuna dalali nauli elf 10 tu kwa gari masaa 3Wakuu heshima kwenu...
Nahitaji shamba au hata kama mtu anakiwanja kwa kiasi kisichozidi 1MIL...
Shamba liwepo maeneo ya DSM,au pwani