Usiwe mnyonge na milioni yako njoo Mkuranga nitakuonyesha mashamba ya hiyo pesa.Unaweza kupata hekari moja au mbili kulingana na sehemu lilipo.Utapatana na mwenye mali na hakuna udalali.
Nami natafuta kiwanja kiwe na ukubwa ufuatao. Upana usipungue mita 20 na urefu usipungue mita 30 na kisiwe ktk korongo wala mwinuko mkali, eneo la Kimara tu. Kutoka barabara kuu umbali usizidi kilomita 3. Bajeti yangu milioni 15. Call 0754747339
Usiwe mnyonge na milioni yako njoo Mkuranga nitakuonyesha mashamba ya hiyo pesa.Unaweza kupata hekari moja au mbili kulingana na sehemu lilipo.Utapatana na mwenye mali na hakuna udalali.