Nahitaji Samsung galaxy s3 used ORIGINAL

Nahitaji Samsung galaxy s3 used ORIGINAL

miagie

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2012
Posts
215
Reaction score
76
mwenye kuuza simu tajwa hapo juu nataka kuinunua offer yangu ni
Tsh 380,000/=
iwe katika hali nzuri nipo arusha mjini.

napatikana 0656565983
 
Hiyo bei, itakuwa ni mtihani ndugu ila subiri washika dau wajitokeze hapa
 
Kuna mtu yuko dar anayo mpyaa haijatumika hata second moja, original full box kwa 490k. Kama uko willing ni pm nikuunganishe nae
 
ipo.. ndo iliyochapa hii msg kwa 450 in good condition.. ni PM for more info.
 
mwenye kuuza simu tajwa hapo juu nataka kuinunua offer yangu ni
Tsh 380,000/=
iwe katika hali nzuri nipo arusha mjini.

napatikana 0656565983

Mkuu kwa bei hyo inapatikana tatizo uko mbali, ila jitahid tu
 
400 km uko interested nitafute nione mzgo....
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom