Nahitaji power bank ya laptop

Nahitaji power bank ya laptop

yes2017

Member
Joined
Jul 10, 2017
Posts
29
Reaction score
18
Habari wakuu,

Nahitaji power bank kwa ajili ya laptop yangu,naomba kujua kwa anayefahamu zinapopatikana.nipo dar.
Thanks.
 
mkuu nyingi sasa hivi zipo ila kwa bongo ni ngumu kuipata.

Hizo za simu zenyewe yamejaa makapi tu kulle aggrey ngumu kupata za maana.

kama una uwezo agizia online, powerbank.kama dell companion ambayo output yake ni 19.5V inayoweza charge laptop na ina mah kama 18,000 hivi.

dell_power_companion_2-100673595-large.jpg
 
Zipo nyingi tuu jombaa,ila zingatia kwamba laptop powerbank nyingi huruhusiwi kupanda nazo kwenye ndege,niliwahi kuiacha yangu nchi za watu but niliweza kuiaddress nikaletewa kwa dhl.
 
mkuu nyingi sasa hivi zipo ila kwa bongo ni ngumu kuipata.

Hizo za simu zenyewe yamejaa makapi tu kulle aggrey ngumu kupata za maana.

kama una uwezo agizia online, powerbank.kama dell companion ambayo output yake ni 19.5V inayoweza charge laptop na ina mah kama 18,000 hivi.

dell_power_companion_2-100673595-large.jpg
Mkuu power bank ya simu yenye ukubwa wa 50,000mAh ninaweza kuitumia kucharge laptop?
 
Mkuu power bank ya simu yenye ukubwa wa 50,000mAh ninaweza kuitumia kucharge laptop?
kama ulivyojibiwa haiwezekani, issue sio mah bali ni voltage. powerbank za simu zinatoa 5V wakati za laptop kama hio ya dell ni 19.5v

sema zipo powerbank miltipurpose kuna moja ya anker ya 120,000mah inachaji vyote simu, laptop, redio na vofaa vyengine vya umeme, sema ndio unakuwa kama mwanafunzi wa shule ya msingi na kidumu cha maji.

anker-1-900x420.jpg
 
mkuu nyingi sasa hivi zipo ila kwa bongo ni ngumu kuipata.

Hizo za simu zenyewe yamejaa makapi tu kulle aggrey ngumu kupata za maana.

kama una uwezo agizia online, powerbank.kama dell companion ambayo output yake ni 19.5V inayoweza charge laptop na ina mah kama 18,000 hivi.

dell_power_companion_2-100673595-large.jpg
Chief- unaweza nisaidia kuniagizia hii maana sjawahi agza ktu online na nashda nayo hasa..naomba nisaidie kupga hesabu za manunnuz mpk inakufkia itacost sh ngap ksha mi nkutumie hyo cash mkuuu..Tafaaadhalii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom