G.T.L
JF-Expert Member
- Jul 15, 2012
- 1,737
- 3,962
Nahitaji ajira ya udereva wa bodaboda iwe ya mkataba au malipo ya wiki, au Bajaji.
Ninajiamini mimi ni mwaminifu na niko tayari kufanya kazi vizuri kutokana na makubaliano yetu.
SIFA ZANGU:
Namiliki Leseni Class "E" , Cheti cha mafunzo ya udereva wa magari ya abiria-Public Service Vehicles (PSV) na cheti cha mafunzo ya awali ya umakenika (Motor Vehicle Mechanics).
Nina Elimu ya Form Four.
Sina ulemavu wowote.
Nipo MWANZA kwa Sasa.
Contacts: 0718454638 na 0765121003
Sent using Jamii Forums mobile app
Ninajiamini mimi ni mwaminifu na niko tayari kufanya kazi vizuri kutokana na makubaliano yetu.
SIFA ZANGU:
Namiliki Leseni Class "E" , Cheti cha mafunzo ya udereva wa magari ya abiria-Public Service Vehicles (PSV) na cheti cha mafunzo ya awali ya umakenika (Motor Vehicle Mechanics).
Nina Elimu ya Form Four.
Sina ulemavu wowote.
Nipo MWANZA kwa Sasa.
Contacts: 0718454638 na 0765121003
Sent using Jamii Forums mobile app
