Nahitaji pickup single cabin ya kukodi

Nahitaji pickup single cabin ya kukodi

mr green

Member
Joined
Jul 30, 2012
Posts
60
Reaction score
60
Naitaji pickup single cabin ya mojawapo kati ya hizi zifuatazo

1. Nissan hardbody,
2. Toyota hilux
3. Toyota Landcruiser

Sifa.
- iwe kwenye hali nzuri
- iwe na four wheels drive(4wd)

Ofa.
- bei itakuwa kuanzia tsh 1,500,000/= mpaka tsh 2,500,000/= kwa mwezi.
- bei hiyo hapo juu itategemea na hali ya gari yenyewe.

*Muda wa kukodi.*
-itachukua muda wa mwezi mmoja(1) hadi miezi mitatu(3) au zaidi kulingana na mahitaji.

Contacts.
0765 184 480 au 0685 048 467

Aksanten.
 
Back
Top Bottom