Mimi ni mwanachuo mwaka wa kwanza course ya afya, nahitaji msaada wa PC nzuri kwa ajili ya kujisomea na yenye bei nafuu na kwa yeyote anayeweza nisaidia upatikanaji wake,
HABARI,
Unepewa ushauri mzuri kwenda dukani ila hiyo mpya ya 300,000 hapana hata ukikuta mpya kwa laki tano na nusu usichukue nyingi mpya za bei ndogo sio original zinaletwa na wahindi na wasomali toka china,Laptop mpya na original kwa hapa kwetu sio chini ya 700,000-800,000 na zaidi.
Kitu cha kufanya nenda kariakoo kuna maduka mengi sana tafuta laptop used nyingi zinakuwa zimetoka america na ulaya zimetengenezwa china ila kiwango cha juu ndio maaana zikaenda marekani na ulaya.
NENDA KARIAKOO FANYA UTAFITI YAPO MADUKA MENGI SANA ULIZIA AINA NA VIWANGO HIVI
DELL D620=SPEED 2.5 MGH AU ZAIDI
RAM 3 GB AU ZAIDI
HDD=250GB AU ZAIDI
(HDD-HARD DISK=NI KIFAACHA KUHIFADHIA KUMBUKUMBU NA GB- NI GIGA BYTE NI SIZE YA UJAZO)
AU
DELL D630 YENYE FIKA KAMA HIZO HIZI KILA MOJA UNAWEZA KUPATA KWA 300,000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.