witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,770
Utakuja kulia hapahapa....utakuja kulaani kuwa ni bora m 3 zangu ningekunywa bia nikakojoa!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app
M3 unatata Paso nzuri tu tena namba D na INA KM si zaidi ya 50k na manufactured year 2016/2017/2018/...
Pambana mkuu.
Kwamba wataniuzia mbovu au wewe unavyojua passo used inauzwa kias gani mil 6?Utakuja kulia hapahapa....utakuja kulaani kuwa ni bora m 3 zangu ningekunywa bia nikakojoa!
Sent using Jamii Forums mobile app
zitakazosajiliwa kwa namba hiyo bado ziko kwenye ardhi au makinikia kabisa. zcfMku kwa m3 take it from me utapata gari sawa lakini litakuwa kimeo. Tano kamili njoo nikupe Toyota SIENTA namba T160 ZCF , waweza chek kudhibitisha kuwa haina deni lolote na vibali vyote viko valid, waweza toa nne ukamlizia moja
ZCF?Mku kwa m3 take it from me utapata gari sawa lakini litakuwa kimeo. Tano kamili njoo nikupe Toyota SIENTA namba T160 ZCF , waweza chek kudhibitisha kuwa haina deni lolote na vibali vyote viko valid, waweza toa nne ukamlizia moja
Nakuonea huruma mkuu
Njoo Bunju nikupe Prado bure kabisa maana halina kazi huwa napelekea mbuzi malishoni na kubebea nyasi
zitakazosajiliwa kwa namba hiyo bado ziko kwenye ardhi au makinikia kabisa. zcf