Nahitaji nyumba ya kupanga

Nahitaji nyumba ya kupanga

Manka R

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2013
Posts
238
Reaction score
29
Eneo la Mwenge kuelekea tegeta, kuanzia laki 250 kwa mwezi.. 0789634651.. sitaki dalali
 
Dar bila dalali hautokaa upate nyumba. Kumbuka nyumba nyingi zina wapangaji dalali ndo mwenye info kujua mtaa flani mpangaji ata hama mwezi flani. Hakuna mwenye nyumba wa kupoteza muda wake kuanza kutafuta wapangaji wakati ana connection za madalali. Yaani akapige mbizi mtoni wakati pembeni kuna daraja?
 
Eneo la Mwenge kuelekea tegeta, kuanzia laki 250 kwa mwezi.. 0789634651.. sitaki dalali

Laki 250= 25,000,000/= pm duh mil 300 kwa mwaka kwa nn usinunue appartment moja kwa moja?
 
Eneo la Mwenge kuelekea tegeta, kuanzia laki 250 kwa mwezi.. 0789634651.. sitaki dalali

Subiri Mvua Kwanza Zianze Kisha Anza Kufanya Survey Kitaani Na Utajua Wapi Uhamie Na Wapi Usihamie Vinginevyo Ukikurupuka Kwa Sasa Hukawii Kupangishwa Darajani au ktk Kingo Za Mito Kwa Kudanganywa Kuwa Hapo Ni Beach Na Kipindi Cha Mvua Za Mafuriko Zikianza Tu UTAKUJA KUJIKUTA NDOTO ZAKO UNAZIOTEA JUU YA MAJI HUKU UKIELEA KUELEKEA BAHARINI. Kipindi Cha Jua Kali Watu ( MAPOPOMA ) Huwa Wanaingizwa Mno Mjini Na MADALALI. Kuwa Makini!
 
Asante, temeke mbali natafutia upande wa mwenge
 
~~~~~~~

~~~~~~~
Wewe Abunuasi ni mmoja wa member mizigo humu JF ningekuwa mod ningekupa LIFE na IP BAN.
~~~~~~~

Asante king kong. Huyu jamaa aliona dili kukimbia hesabu akakimbilia kiswahili. Mtu kaaandika laki 250 kwa mwezi lenyewe linakremu linaandika laki 2.5 hapo arbogus kubali hesabu imekupitia kushoto. Hebu bogus niandikie million 100 kwa tarakimu halafu niandikie laki 250 kwa tarakimu
 
Asante king kong. Huyu jamaa aliona dili kukimbia hesabu akakimbilia kiswahili. Mtu kaaandika laki 250 kwa mwezi lenyewe linakremu linaandika laki 2.5 hapo arbogus kubali hesabu imekupitia kushoto. Hebu bogus niandikie million 100 kwa tarakimu halafu niandikie laki 250 kwa tarakimu

Huyo jamaa kwake yeye 2.5=250.
Haya ni majanga makubwa halafu anatetea hadi mishipa inamtoka.Uzuri wa hesabu huwa hazitaki siasa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom