Nahitaji nokia kitochi

Nahitaji nokia kitochi

Hammy Js

JF-Expert Member
Joined
Sep 20, 2017
Posts
3,053
Reaction score
3,268
Habari wandugu anayeuza simu aina ya nokia ya tochi iwe org isiyo na tatizo lolote ajitokeze tufanye biashara.
 
Natafuta Nokia ya tochi sio smartphone ndugu
 
Ww umeonaja hapo mkuu? Ngoja niandikie kwa maneno. Una Laki moja na nusu Hela taslimu?
Nimeiona kama ni 150000 lakini naona bei ni kubwa na haiendani na simu ninayoitafuta ndo mana nikauliza .
 
Nimeiona kama ni 150000 lakini naona bei ni kubwa na haiendani na simu ninayoitafuta ndo mana nikauliza .
Umesema unataka Nokia ya Tochi Original ndio bei yake hiyo. Kama vipi subiri fake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom