Nahitaji nifungue kanisa

Kabla ya kuanza nakushauri tafuta chuo chochote cha kilutheri, ujifunze theolojia kwanza na saikolojia zake.
 
Wengi wenu mnaleta mzaha au mnamtazamo hasi kuhusu kanisa kwasababu hamjui mwanzilishi wa kanisa ni nani,pia kuweni specific makanisa mnayotaka kuanzisha ni yapi maana kanisa la Mungu huanzishwa na Mungu mwenyewe na kanisa la shetani analolianzisha shetani,basi kuweni makini maana ukiletea mzaha kanisa la Mungu utakufa kifo kibaya.
 
Kifo kibaya na kifo kizuri tofauti yake ni ipi?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…