BEAH NUTRI-FLOUR
Member
- Mar 7, 2018
- 30
- 11
Hello wadau..
Mm ni mkazi wa mwanza nilikua nauliza pakupata nafaka kama ulezi, soya, mahindi ya bisi na karanga kwa jumla.. (Hata mbegu za maboga pia!)
Anayejua plz anijuze na bei kabisa.. Asanteni
Mm ni mkazi wa mwanza nilikua nauliza pakupata nafaka kama ulezi, soya, mahindi ya bisi na karanga kwa jumla.. (Hata mbegu za maboga pia!)
Anayejua plz anijuze na bei kabisa.. Asanteni