Nahitaji mzani wa dukani.

Nahitaji mzani wa dukani.

Dada Makini

Member
Joined
Aug 27, 2010
Posts
28
Reaction score
52
Husika na kichwa cha habari. Nahitaji mzani wa kupimia bidhaa dukani. Mfano wa picha hii. Bajeti yangu ni 40,000. Napatikana Dar Mbezi Luis.
IMG_2911.JPG
 
Kariakoo sokoni ndani ya jengo kuu inapatikana, mizani ya Tanzania 150,000 na ya India 170,000. Nadhani mazungumzo yapo nimepita hapo leo mchana
 
Kariakoo sokoni ndani ya jengo kuu inapatikana, mizani ya Tanzania 150,000 na ya India 170,000. Nadhani mazungumzo yapo nimepita hapo leo mchana

Uko sahihi kasoro hapo tu kwenye bei. Bei zipo hata chini ya hapo kama mzani si wa digital.
 
Back
Top Bottom