ulongo Member Joined Jun 17, 2016 Posts 20 Reaction score 7 Sep 10, 2021 #1 Kama kichwa kinavyojieleza kama unamzani mkubwa namaanisha ile ya kupimia kilo 100 na kuendelea njoo chemba tuyajenge nipo DAR ES SALAAM
Kama kichwa kinavyojieleza kama unamzani mkubwa namaanisha ile ya kupimia kilo 100 na kuendelea njoo chemba tuyajenge nipo DAR ES SALAAM
M Mkalapa boy Member Joined Aug 19, 2021 Posts 84 Reaction score 172 Sep 10, 2021 #2 Ww uko mkoa gani mkuu ,tuanzie hapo