Nahitaji mwenza wa maisha

emmi

Member
Joined
Apr 19, 2012
Posts
11
Reaction score
2
Naitwa emmi,nahitaji mwenza wa maisha miaka kuanzia 39-43 awe na siha njema mwenye muonekano mzuri awe mcha Mungu na awe mwenye kujishughulisha,kujiamini,awe na mtoto walau mmoja.Je wewe una sifa hizo?ni PM
Mimi nina miaka 33 ninafanya kazi Dar,kama na wakujaribu pliz usipoteze muda wako bure.

Natanguliza shukrani.
 
Nakutakia fanaka mama usikutane na maplay boy wakakuaribia ndoto yako!!
 


Una masahibu gani hadi uje utafute mtandaoni
OTIS
 
good luck mwaya,wengine wametafuta humu humu na wamepata hata wewe utapata.....
 
Sielewi mtu kuja kutafuta mwanaume/mke humu ndani...alafu mkichezewa mnalalamika. Dada una 33yrs old and ur single..u aint gotta man...tatizo ni nini...anyway Goodluck...All the best..u never know
 
Awe walau na mtoto? Kwani wewe unajijua kwamba huna uwezo wa kuzaa? Halafu kwanini kuanzia miaka 39 wakati wewe una 33 tu? Kwanini basi isiwe miaka kuanzia 34?
 
Hujaona mtu mwenyewe anaitwa chinga boy? Wavuta bangi wa box 2 ndo walikuwa wanajiita hivyo. chinga boy na ujinga wa kupiga chata kila kona.
 
CV yako haijakailika, hebu tuwekee elimu yako, kazi gani unafanya. Una mtoto au watoto? Uliwahi kuolewa? Watu wanataka kujua taarifa kama hizo. Nakutakia safari njema
 
Naona mie ndo wako maana vigezo vyote ninavyo kinakosekana kimoja ambacho tutaelewana! nitumie mail yako nikupe profile yangu
 
CV yako haijakailika, hebu tuwekee elimu yako, kazi gani unafanya. Una mtoto au watoto? Uliwahi kuolewa? Watu wanataka kujua taarifa kama hizo. Nakutakia safari njema
Kaka, kwani amesema anataka kusafiri? Safari njema ya nini tena
 

Nami pia natafuta. Tafadhali tuwasiliane kama tu unakidhi vigezo:

 
Naomba na ww usiwe unajaribu!maana wanawake wengi wa jamii joking nyingi na wa kuangalia maslahi,kama ww haupo huko mm pia natafuta mke na niko serious kweli na sijaribu nataka mke nina miaka 43
 
hahaha,aya bwana kila la kheri mtapata,ila umri uwo mlikua wapi na kwa nini ujitangazie ninyi ndo wale mnakutana na matatizo mnalia,utapata mtu jini !!!!! kua makini
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…