Mwanaharakati2013
Senior Member
- Sep 29, 2013
- 170
- 15
Habari za asubuh wakuu... Naombeni msaada wa jinsi ya kuwapata wadada wa Malawi. Lengo ni kwa ajili ya kusaidia shughuli za nyumbani kwa aunt yangu.
Nasikia wapo wengi maeneo ya tegeta ila sina pa kuanzia. Msaada wenu plz
Nasikia wapo wengi maeneo ya tegeta ila sina pa kuanzia. Msaada wenu plz