Mimi ni mwanamke wa miaka 29 nimeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo, kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana, nipo mkoa wa Mwanza, ningefurahi kama ningepata mwanaume wa Mwanza, mimi ni mrefu kiasi, chocolate, mkristo na ni mwajiriwa serikalini.
Ni PM tuzingumze, kama haupo na lengo jitahidi kupita tu.
Asanteni
nashukur sanaHahahah...kwel ndoa ndo tulizo la moyo kati ya nafsi ya mwanamke na mwanaume "nakuombea mungu umpate umtakaye ila mungu akupe mwenye tabia uzitakazo wew ili ndoa iwe yenye furaha wakat ote"
hahaaaaaOhoooo!!! Na nilivyochelewa kuuona uzi huu!? Sijui njemba zitakuwa tayari zimeniwahi kwa kichuna!?
Nawaza kwa sauti tu!
sawaNamna ya kwenda pm nfunzen aisee, ili niwah Bahat hiyo
Wewe utakuwa jini maana unataka bwana alafu unasua sua mgoja twende villa, diamond na mza hotel tukaokote vya bure ila vifaa balaaakwa lip
hizo ndizo fkra zako hjakosea endelea hivo hivoWewe utakuwa jini maana unataka bwana alafu unasua sua mgoja twende villa, diamond na mza hotel tukaokote vya bure ila vifaa balaaa
nicheck hapa meu760@gmail.comMimi ni mwanamke wa miaka 29 nimeamua kuja jukwaani kutoa hitaji langu la moyo, kwa yeyote mwenye mapenzi ya dhati karibu sana, nipo mkoa wa Mwanza, ningefurahi kama ningepata mwanaume wa Mwanza, mimi ni mrefu kiasi, chocolate, mkristo na ni mwajiriwa serikalini.
Ni PM tuzingumze, kama haupo na lengo jitahidi kupita tu.
Asanteni
Asante sanaUsihofu
Asante sanaUsihofu