Nahitaji Mwanamke wa kuoa toka MMU/JF

joshydama

JF-Expert Member
May 10, 2016
4,623
5,037
Habari zenu wakuu? Natumai mko poa sana.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ni kwambia nimependa kuwashirikisha katika hili jambo la kutafuta mwanamke humu ndani ambaye atakuwa rafiki yangu sana wa karibu halafu mwisho wa siku awe mke wangu.

Nimefanya hivyo siyo kwa sababu sioni wanawake mataani bali napenda nimpate mwanamke kutoka MMU au JF.

Sifa za mwanamke ambaye ninamhitaji;

1. Awe anamjua Mungu.
2. Awe na kazi ya kumuingizia kipato.
3.Awe na umri wa miaka 20- 25
3.Mengine tutavumiliana.

I humbly submit.
 
Habari zenu wakuu? Natumai mko poa sana.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ni kwambia nimependa kuwashirikisha katika hili jambo la kutafuta mwanamke humu ndani ambaye atakuwa rafiki yangu sana wa karibu halafu mwisho wa siku awe mke wangu.

Nimefanya hivyo siyo kwa sababu sioni wanawake mataani bali napenda nimpate mwanamke kutoka MMU au JF.

Sifa za mwanamke ambaye ninamhitaji;

1. Awe anamjua Mungu.
2. Awe na kazi ya kumuingizia kipato.
3.Awe na umri wa miaka 20- 25
3.Mengine tutavumiliana.

I humbly submit.
avatar Ni wewe mkuu
 
Ukifuatwa na mtu mmoj pm nitag halafu andika "am fine" wakiwa wawili "am very fine" watatu "am deadly fine" wanne "wow am fine" watano "why am i this fine?" Sita "fvck am fine".

Wakikupiga chini andika "I thought am fine"
 
Ukifuatwa na mtu mmoj pm nitag halafu andika "am fine" wakiwa wawili "am very fine" watatu "am deadly fine" wanne "wow am fine" watano "why am i this fine?" Sita "fvck am fine".

Wakikupiga chini andika "I thought am fine"
 
Habari zenu wakuu? Natumai mko poa sana.

Kama kichwa cha habari kinavyojieleza hapo juu. Ni kwambia nimependa kuwashirikisha katika hili jambo la kutafuta mwanamke humu ndani ambaye atakuwa rafiki yangu sana wa karibu halafu mwisho wa siku awe mke wangu.

Nimefanya hivyo siyo kwa sababu sioni wanawake mataani bali napenda nimpate mwanamke kutoka MMU au JF.

Sifa za mwanamke ambaye ninamhitaji;

1. Awe anamjua Mungu.
2. Awe na kazi ya kumuingizia kipato.
3.Awe na umri wa miaka 20- 25
3.Mengine tutavumiliana.

I humbly submit.

mbona hujaweka umri wako ,umejiajiri au umeajiriwa ...una mtoto au la! anaweza akamjua Mungu lakini akawa anasali kwenye yale makanisa yetu yaleeee
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom