Kwan nini nisijueunaijua au unacomment tu
Hiyo mbaya sana, ni kama ina sense hivi. Mimi nimejaribu imenipiga kama mara 2 hivi.achana nayo..bora ukacheze roullete upande wa black au red
usicheze online...cheza kwenye center..1x bet nlieapiga sana kwenye coin flipping either head or tail..baadae nikawa nalose..nikaacha,,nikafta watasha wanaojua izo kazi wakasema "ukiwa online unacheza izo game na unakula,wanaanza ku trace account yako na kukukosesha..na ukitaka uamini hilo fungua account mbili..moja mpya na ile unayowapga sana..unakuta kwenye coin flipping within the same time coin imerushwa ila majibu yanakuja tofauti....ila pm bet ntajaribu nioneHiyo mbaya sana, ni kama ina sense hivi. Mimi nimejaribu imenipiga kama mara 2 hivi.
Kuna games ziko PMbet ukicheza uhakika wa kushinda ni 70% . Mimi nimenunua bodaboda 3 kwa hizo online casino za PMbet.
Ila mtoa mada nadhani amemaanisha kuwa anataka aanzishe center za hizo games na si kucheza
Asante sana.usicheze online...cheza kwenye center..1x bet nlieapiga sana kwenye coin flipping either head or tail..baadae nikawa nalose..nikaacha,,nikafta watasha wanaojua izo kazi wakasema "ukiwa online unacheza izo game na unakula,wanaanza ku trace account yako na kukukosesha..na ukitaka uamini hilo fungua account mbili..moja mpya na ile unayowapga sana..unakuta kwenye coin flipping within the same time coin imerushwa ila majibu yanakuja tofauti....ila pm bet ntajaribu nione