nahitaji muongozo kwenye hili

scondo

Senior Member
Dec 8, 2015
137
127
wanajamii mm nina mkakati wa kupanga safari ya kwenda kupanda mlim kilimanjaro oamoja na marafiki zang, lkn nimezunguka sehemu zite kuulizia bei ya hii ki2 lkn majibu ninayopewa hayalizishi sasa nilikuwa naomba kama una m2 umu ndani anajuwa ni process zipi unatakiwa upitie naomba unisaidie kwa hili, asanteni
 
wanajamii mm nina mkakati wa kupanga safari ya kwenda kupanda mlim kilimanjaro oamoja na marafiki zang, lkn nimezunguka sehemu zite kuulizia bei ya hii ki2 lkn majibu ninayopewa hayalizishi sasa nilikuwa naomba kama una m2 umu ndani anajuwa ni process zipi unatakiwa upitie naomba unisaidie kwa hili, asanteni
Call me 0756680155 or 0719813109
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom