Halafu unambie palipoandikwa usizae nje ya ndoa.
Mkumbuke suleman alikuwa na wanawake wangapi hizo ndoa alifanya lini? Ila alizaaa
Biia inatambua ndoq za watu wangapi?
Ibrahim alishauriwa na mkewe atoke na kijakazi na huyo ndie baba wa imani sasa.
Tafadhali tusiitane wapagani imani naijua pengine kukuzidi