Aisee kwel huna hata chura wa kuwatishia wanaume waoga huko kitaan kwako? Hebu jiulize adamu wako bado hajazaliwa au alibebwa na Upepo? Unataka muislamu? Ww kwanza hata kwa mada yako hii n dhair kuwa huna maadil ya kiislamu. Mungu akuponye hilo pepo la ngono