Nahitaji mume Muislam aliye-serious na ndoa

Waalykm salaam... Inshaallah kwa uwezo wa Allah utapata hitaji la moyo wako.... Ila sidhani kama humu wapo walio serious na hata wakitokea usije ukajenga ukaribu mkionana aje kwenu apeleke posa na siyo ujanja ujanja.... Allah akupe yule mwenye kheri nawe inshaallah
 
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.

Mimi ni Mwanamke Muumini wa Dini ya Kiislam (ISLAM-UNYEYEKEVU-MUISLAM) ni muajiriwa umri wangu miaka 30, sijawahi kuolewa na sina mtoto.

Nahitaji Mume MUISLAM umri wake kuanzia 33-50. Awe na hofu ya ALLAH SUBHAANA WATAALLAH, Awe Ameajiriwa au Amejiajiri mwenye maisha yake Standard. Asiwe Mume wa Mtu.

Awe hajaoa bado, Alie serious tu juu ya NDOA anicheki kwa Private Message ( PM ).

Wabillah Tawfiq.

Shukran.
Hutaki kuolewa mke wa pili?
 
Jamani musiwe mnaandika na kupost kejeli, mtu anatafuta Mwenza wa maisha nyinyi mnamkejeli hiyo sio fair kabisa
 
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.

Mimi ni Mwanamke Muumini wa Dini ya Kiislam (ISLAM-UNYEYEKEVU-MUISLAM) ni muajiriwa umri wangu miaka 30, sijawahi kuolewa na sina mtoto.

Nahitaji Mume MUISLAM umri wake kuanzia 33-50. Awe na hofu ya ALLAH SUBHAANA WATAALLAH, Awe Ameajiriwa au Amejiajiri mwenye maisha yake Standard. Asiwe Mume wa Mtu.

Awe hajaoa bado, Alie serious tu juu ya NDOA anicheki kwa Private Message ( PM ).

Wabillah Tawfiq.

Shukran.
Walyekum musalaam!!qhaifa khal.....vipi ulsha mpata mwenzi?
 
Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.

Mimi ni Mwanamke Muumini wa Dini ya Kiislam (ISLAM-UNYEYEKEVU-MUISLAM) ni muajiriwa umri wangu miaka 30, sijawahi kuolewa na sina mtoto.

Nahitaji Mume MUISLAM umri wake kuanzia 33-50. Awe na hofu ya ALLAH SUBHAANA WATAALLAH, Awe Ameajiriwa au Amejiajiri mwenye maisha yake Standard. Asiwe Mume wa Mtu.

Awe hajaoa bado, Alie serious tu juu ya NDOA anicheki kwa Private Message ( PM ).

Wabillah Tawfiq.

Shukran.
Njoo tuyajenge silias.
 
Naona vijana wamepanic hapo kwenye maisha standard hahahaha tutafute hela jamani hata wewe dada yako hutopenda aolewe na mganga njaa.
 
miaka 50 halafu awe hajaoa upo serious kweli. mkishafikaga 30+ mnaweka maringo yenu pembeni mnaanza usumbufu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom