Ungekua specific Bwana Shombe, unamuulizia bikira ipi?Fafanua vizuri basi, umesema hujawahi olewa, huna mtoto pia me nataka kufahamu kama bikira bado ipo...? Naomba jibu.
Wabillah Taufiq..
😲😲😲😲😲Fafanua vizuri basi, umesema hujawahi olewa, huna mtoto pia me nataka kufahamu kama bikira bado ipo...? Naomba jibu.
Wabillah Taufiq..
Hata wewe kama una nia kweli utaenda PMKama una nia kweli njoo Pm
Kwa nilivyomsoma anataka vyoteKati ya ndoa na maisha standard unataka nini?
Hutaki kuolewa mke wa pili?Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.
Mimi ni Mwanamke Muumini wa Dini ya Kiislam (ISLAM-UNYEYEKEVU-MUISLAM) ni muajiriwa umri wangu miaka 30, sijawahi kuolewa na sina mtoto.
Nahitaji Mume MUISLAM umri wake kuanzia 33-50. Awe na hofu ya ALLAH SUBHAANA WATAALLAH, Awe Ameajiriwa au Amejiajiri mwenye maisha yake Standard. Asiwe Mume wa Mtu.
Awe hajaoa bado, Alie serious tu juu ya NDOA anicheki kwa Private Message ( PM ).
Wabillah Tawfiq.
Shukran.
Walyekum musalaam!!qhaifa khal.....vipi ulsha mpata mwenzi?Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.
Mimi ni Mwanamke Muumini wa Dini ya Kiislam (ISLAM-UNYEYEKEVU-MUISLAM) ni muajiriwa umri wangu miaka 30, sijawahi kuolewa na sina mtoto.
Nahitaji Mume MUISLAM umri wake kuanzia 33-50. Awe na hofu ya ALLAH SUBHAANA WATAALLAH, Awe Ameajiriwa au Amejiajiri mwenye maisha yake Standard. Asiwe Mume wa Mtu.
Awe hajaoa bado, Alie serious tu juu ya NDOA anicheki kwa Private Message ( PM ).
Wabillah Tawfiq.
Shukran.
Njoo tuyajenge silias.Assalaam Alaykum Warahmatullah Wabarakatuh.
Mimi ni Mwanamke Muumini wa Dini ya Kiislam (ISLAM-UNYEYEKEVU-MUISLAM) ni muajiriwa umri wangu miaka 30, sijawahi kuolewa na sina mtoto.
Nahitaji Mume MUISLAM umri wake kuanzia 33-50. Awe na hofu ya ALLAH SUBHAANA WATAALLAH, Awe Ameajiriwa au Amejiajiri mwenye maisha yake Standard. Asiwe Mume wa Mtu.
Awe hajaoa bado, Alie serious tu juu ya NDOA anicheki kwa Private Message ( PM ).
Wabillah Tawfiq.
Shukran.
Mwana usiyemzaa mkubwa mwenzio..akiwa na miaka 50 si baba yako huyo?