Nahitaji mtu wa Sales & Marketing Arusha

Nahitaji mtu wa Sales & Marketing Arusha

Go Millets

Member
Joined
Jul 20, 2021
Posts
5
Reaction score
2
Ninahitaji mtu kwa ajili ya Marketing na Sales kwa Arusha.

Sifa;
  • Diploma au Certficate ya Marketing
  • Awe na uzoefu kwenye Sales and Marketing kwa kipindi cha mwaka mmoja hasa kwenye Bevarage Industry.
  • Awe ana ijua vyema jiji la Arusha na Wilaya za jirani.
  • Anaye weza fanya kazi bila kusimamiwa.
  • Awe anajua kutumia mitandao ya Facebook na Instragram.
Kama una mtu ana sifa hizo tafadhali mwambia aombe hasa kama anaishi Arusha.

Mshahara ni makubaliano ya mwajiri na mwajiriwa.

Email: gomilletss@gmail.com

Mwisho wa kutuma maombi ni 31 August 2021.
 
Back
Top Bottom