Mlima meru
Senior Member
- Dec 30, 2012
- 114
- 20
Nimebadilisha mawazo kwani wengi waliokuja nahisi hawakuvutiwa na nyumba
Kama hujui lugha ya Malkia andika kiswahili tu ndugu yangu....khaa! 150000per month iz it a self contener house
Kama hujui lugha ya Malkia andika kiswahili tu ndugu yangu....
Au ni self conteiner eksikidumu?
Habari,
Mimi ni mwanaume nahitaji mtu wa kushea nyumba sanawari.
sifa; Awe hajaoa wala kuolewa (single) na uwezo la kuchangia rent 150000 kwa mwezi.
Sifa za nyumba nitampa mtu.
Muhusika atakaye ni pm
Asanteni