Edoedward1
JF-Expert Member
- Apr 20, 2012
- 795
- 310
Nyumba ina vyumba 2 vya kulala, Sitting room,jiko na toilet with bathroom ndani...mimi natumia bedroom moja na siting room
Nyumba ina vyumba 2 vya kulala, Sitting room,jiko na toilet with bathroom ndani...mimi natumia bedroom moja na siting room
Nyumba ina vyumba 2 vya kulala, Sitting room,jiko na toilet with bathroom ndani...mimi natumia bedroom moja na siting room
okay samahanini kwa mlokwazika in case there is any,,iko hivi
Nyumba ipo Ubungo river side niko peke yangu n house is too big for me
natumia rum moja tu
na bei elf 90 kwa mwezi
in case upo inteested PM inahusika
okay samahanini kwa mlokwazika in case there is any,,iko hivi
Nyumba ipo Ubungo river side niko peke yangu n house is too big for me
natumia rum moja tu
na bei elf 90 kwa mwezi
in case upo inteested PM inahusika
Elfu 90bei mtakayochangia ama ndo bei ya nyumba nzima............
Kwa wewe au Lara1 mtachangia 0.00 Tshs. Ni kuja kukaa tuu. LoL
Alafu mimi sijaelewa jamani ama ni kwakuwa umeandika share kingereza...Share kivipi? Je nyumba ni yako unaona noma kukaa mwenyewe unahitaji kampani? Hapo nina maana kwamba huyo mtu atakaa bure... Ama umepanga humo umeshindwa kutumia vyumba vyote umeona na wewe upangishe mkuu?!!
ina maana huna hata ndugu ukakaa nao?
Mkuu umeshawahi nje ya Tanzania/Africa? Swali lako lipo too local mkuu ebu ingia mtandao wa Gumtree.com.au ufungue macho nawewe
utaziweza tabia za walimwengu?...au we hujali ili mradi unapumua?.. Kama huna ndugu kawatafute watoto wa mtaani hata wawili uishi nao..
mate wako atakulipa/atalipa pesa ngapi kwa mwezi?Mkuu Hao watoto wa mtaani sio walimwengu?