drmaxmhozya
Member
- Aug 7, 2020
- 51
- 48
Naitwa max Fernandez nipo DSM nahitaji mtu wa kushea naye biashara
Ni tatizo la mfumo wa elimu yetu...unatujenga kuwa wavivu kujieleza.maxfernandes kuna tofauti kati ya "kuanzisha na" na "kushea na"
Issue ya serious kama hii andika vizuri. Uandishi utakukosesha hitaji lako.
Mtu mwingine akishaona uandishi huu hata kama anaweza kukusaidia atapita mbali