Archnemesis 2-0
JF-Expert Member
- Aug 25, 2024
- 916
- 1,718
Habari Wakuu, naomba mfanya biashara wa nafaka tupatane tufanye biashara ya mtama.. requirement kwanzia walau tani 40 kwenda juu..
Asanteni.
Asanteni.
yeye ananunua 950 na yupo dar..haya maajabMbona hutoi taarifa kwa kina? Una itaji mtama aina gani, una patikana wapi, unalipa kiasi gani kwa kilogram, mawasiliano yako?
Zipo tani 7 za mtama ule mwekundu, ziko Mwanza njoo uchukue mwenyewe, bei ni 1,800 kwa kilogram.
Kiongozi nimechelewa kuingia humu leo na kuona ujumbe wako, anyway offer yangu ni Tsh 950 kwa kilo mwisho 980 tufanye biashara.. tunavoongea nimetuma vijana wanasakanya dodoma vijijini kwa 950 na nimekusanya kiasi flani. Shukran kwa replyMbona hutoi taarifa kwa kina? Una itaji mtama aina gani, una patikana wapi, unalipa kiasi gani kwa kilogram, mawasiliano yako?
Zipo tani 7 za mtama ule mwekundu, ziko Mwanza njoo uchukue mwenyewe, bei ni 1,800 kwa kilogram.
Mkuu ajabu nn hapo? Naona hauko serious sio lazima kujibuyeye ananunua 950 na yupo dar..haya maajab
Aise nmekuelewa mkuu mshangao wako, ukiweka ushuru, kusafisha na ku rebag mifuko, usafiri hadi ICD dar kila kitu nimepata kwa Tsh 1190 kwa kilo! Bado haifai?yeye ananunua 950 na yupo dar..haya maajab
kuna nyekundu na nyeupe ipi unataka mkuu?Habari Wakuu, naomba mfanya biashara wa nafaka tupatane tufanye biashara ya mtama.. requirement kwanzia walau tani 40 kwenda juu..
Asanteni.
Mweupe, ila nishapata mkuu order ya sasa container 3.. my connect anarudi tena mwezi wa 5 sio mbaya tutengeneze mazingirakuna nyekundu na nyeupe ipi unataka mkuu?