Nahitaji Msaidizi wa kazi za ndani.

Nahitaji Msaidizi wa kazi za ndani.

mavado

JF-Expert Member
Joined
Jun 25, 2014
Posts
1,153
Reaction score
801
-Husika na kichwa cha habari, nahitaji Msaidizi wa kazi za ndani, ila angalau ajue hesabu kidogo maana nina ka mradi wa kuku wa kisasa, so kuna siku sipo atasaidia kukusanya pesa. so hesabu muhimu.
-Awe anajitambua vyema,
-mshahara maelewano., njoo inbox kwa maelewano zaidi.
 
Wa kike itapendeza zaidi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom