Muda unazidi kwenda saa sita hii na mpaka sasa sijafanikiwa kupata chochote. Mimi na mama yao tunaweza vumilia huku nikipambana ila kwa watoto ni mateso makubwa sana, nimetoka nyumbani hakuna kitu chochote yaani pako empty. Eeeh Mungu tenda miujiza yako nipate riziki nipate nguvu ya kuendelea kutafuta.