X Xerophytic B Member Joined Oct 24, 2016 Posts 10 Reaction score 1 Mar 3, 2017 #1 Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza hapa dar, ila nina cheti cha diploma ya maabara za viwandani. Nimekwama sina ada ya mwaka wa pili, sikupata mkopo. Msaada wenu hata kama nikisaidiwa nifanye kazi za shift ya usiku
Mimi ni mwanafunzi wa mwaka wa kwanza hapa dar, ila nina cheti cha diploma ya maabara za viwandani. Nimekwama sina ada ya mwaka wa pili, sikupata mkopo. Msaada wenu hata kama nikisaidiwa nifanye kazi za shift ya usiku