Kaka mwisho
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 408
- 182
Ndugu zangu wana jf na wasio jf members leo najitokeza kwenu kivingine kabsa. Nashida na shilingi mil 3 kwa yoyote mwenye uwezo na nia ya dhati naomba anikopeshe kwa masharti tutayokubaliana. Mkopo nauhitaji kwa ajili ya shughuli zangu za ujasiriamali(kibiashara). Tatumia vyeti vyangu vyote kuanzia sekondari mpaka chuo pamoja na leseni kama bond kwa mkopeshaji. Ndugu zangu nahitaji sana huu mkopo naomba umpe taarifa na mwenzako ambaye unahisi kwa namna fulani anaweza nisaidia japokuwa sio member pia kama kuna taasisi ambayo inaweza nipa mkopo kwa vigezo nilivyonavyo naomba unitajie. Mods nawaombeni sana hii post msiitoe na muipost mpaka jf facebook page. Kwa yoyote ambaye yupo tayari ani pm au ushokola2002@gmail.com pia napokea ushauri.