Nahitaji Msaada wako Mwana Jf

Aleyn

JF-Expert Member
Nov 12, 2011
19,198
32,352
Habari MwanaJF,Nikifungua Internet Explorer,Mozira Firefox n.k huwa zinakataa kunipa Internet ila leo nimegundua ktk Program hizi kuna mahali ambapo kuna vinara vipo vitatu(3) vinaashiriwa kwa rangi ya KIJANI,vinara hv kwangu vimefutika yaani alama ya kijani hakuna. Na nikiclick inadai "CAST YOUR VOTE" na upande mwingine inasema "This site has no rating".
NAHITAJI MSAADA WAKO MwanaJF
 
Habari MwanaJF,Nikifungua Internet Explorer,Mozira Firefox n.k huwa zinakataa kunipa Internet ila leo nimegundua ktk Program hizi kuna mahali ambapo kuna vinara vipo vitatu(3) vinaashiriwa kwa rangi ya KIJANI,vinara hv kwangu vimefutika yaani alama ya kijani hakuna. Na nikiclick inadai "CAST YOUR VOTE" na upande mwingine inasema "This site has no rating".
NAHITAJI MSAADA WAKO MwanaJF


SOLUTION
Jaribu kutoa screen shots zake tuone,
but initially i can say hapo nenda kwny Internet Explorer >>Settings>>Advancd>> Browsing>>>Make sure ipo marked kwenye kila tab.
 
SOLUTION
Jaribu kutoa screen shots zake tuone,
but initially i can say hapo nenda kwny Internet Explorer >>Settings>>Advancd>> Browsing>>>Make sure ipo marked kwenye kila tab.

nimejaribu lakini imekataa.samahani kwa usumbufu.
 
Habari MwanaJF,Nikifungua Internet Explorer,Mozira Firefox n.k huwa zinakataa kunipa Internet ila leo nimegundua ktk Program hizi kuna mahali ambapo kuna vinara vipo vitatu(3) vinaashiriwa kwa rangi ya KIJANI,vinara hv kwangu vimefutika yaani alama ya kijani hakuna. Na nikiclick inadai "CAST YOUR VOTE" na upande mwingine inasema "This site has no rating".
NAHITAJI MSAADA WAKO MwanaJF

Nita kuuliza baadhi ya maswali

Unatuamia antivirus gani ? Huo ujumbe This site has No rating inaweza isiwe issue ya msingi. Kuna baadhi ya antivirus zinakupa info tu kuwa site fulani ni trusted kutokanana kura za watembeleaji. Sasa unaweza temebelea jamiiforum ikawa haina rating sababu watanzania wengi ambao ndiowanatimua hawajatoa rating zaoza jf kwenye hiyo antivirus.

Je unakosa internet hata ukitembelea tovuti kama google,yahoo au kwa baadhi?

kwenye DOS run command hizi
  • ipcofig / all ukiona detail za IP za DHCP na DNS server kama haizpo basi tatizo sio browser.tatizo ni set up ya internet yako
  • Ping jamiiiforums.com -t hapa ukipata reply then setup itakuwa ipo sawa may be tatizo utakuwa na kirusi au malware kiichobadiisha baadhi ya vitu kwenye brwoser zako.

lete feedback
 
Nita kuuliza baadhi ya maswali

Unatuamia antivirus gani ? Huo ujumbe This site has No rating inaweza isiwe issue ya msingi. Kuna baadhi ya antivirus zinakupa info tu kuwa site fulani ni trusted kutokanana kura za watembeleaji. Sasa unaweza temebelea jamiiforum ikawa haina rating sababu watanzania wengi ambao ndiowanatimua hawajatoa rating zaoza jf kwenye hiyo antivirus.

Je unakosa internet hata ukitembelea tovuti kama google,yahoo au kwa baadhi?

kwenye DOS run command hizi
  • ipcofig / all ukiona detail za IP za DHCP na DNS server kama haizpo basi tatizo sio browser.tatizo ni set up ya internet yako
  • Ping jamiiiforums.com -t hapa ukipata reply then setup itakuwa ipo sawa may be tatizo utakuwa na kirusi au malware kiichobadiisha baadhi ya vitu kwenye brwoser zako.

lete feedback

Natumia Avast Anti Virus,ushauri wako sijauelewa vizuri Mkuu.
 
Back
Top Bottom