Jamani nilikujaga na uzii humu kuwa sipati mimba, sasa nashukuru nimepata ina mwezi mmoja, tatizo nikifanya kazi kidogo tumbo linauma damu inatoka kidogo.
Nikaambiwa nilale sasa ninavyolala siumii ila nikijitingisha naumia halafu damu inatoka kidogo..
Nikaambiwa nilale sasa ninavyolala siumii ila nikijitingisha naumia halafu damu inatoka kidogo..