Nahitaji msaada, nina tatizo la masikio

Nahitaji msaada, nina tatizo la masikio

the big dog

Member
Joined
Mar 11, 2020
Posts
13
Reaction score
8
Mimi n muathirika wa masikio yani hayasikii vizuri na nina athari zifuatazo:

1. Yanauguruma kwa ndani
2. MTU akiongea namsikia ila cjui anamanisha nini
3. Akiwa mbali akiongea ndio sisikii kabsa
4. Hayaumi wala kutoa usaha nlienda hospital kupima nkapewa sawa za neuroton nmetumia lakini hazijanisaidia chochote.

Sent using Jamii Forums mobile app

SOMA HAPA:
Hospital gani wanapima masikio?
 
Hii shida ya masikio naona ni wengi mno sasa


Please; kwa kuchukua tu tahadhari kwa wengine punguzeni/acheni matumizi ya earphone/headphone
Yani earphone zinauzwa buku kkoo kijana kutwa nzima kaivaa masikioni mziki mkubwa ati fashion

Pole sana ndugu naimani utasaidika ,Mungu ni mwema sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom