the big dog
Member
- Mar 11, 2020
- 13
- 8
Mimi n muathirika wa masikio yani hayasikii vizuri na nina athari zifuatazo:
1. Yanauguruma kwa ndani
2. MTU akiongea namsikia ila cjui anamanisha nini
3. Akiwa mbali akiongea ndio sisikii kabsa
4. Hayaumi wala kutoa usaha nlienda hospital kupima nkapewa sawa za neuroton nmetumia lakini hazijanisaidia chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
SOMA HAPA:
Hospital gani wanapima masikio?
1. Yanauguruma kwa ndani
2. MTU akiongea namsikia ila cjui anamanisha nini
3. Akiwa mbali akiongea ndio sisikii kabsa
4. Hayaumi wala kutoa usaha nlienda hospital kupima nkapewa sawa za neuroton nmetumia lakini hazijanisaidia chochote.
Sent using Jamii Forums mobile app
SOMA HAPA:
Hospital gani wanapima masikio?