Chizi Maarifa
JF-Expert Member
- Jul 29, 2013
- 10,465
- 23,732
Leo tu asubuhi nlipost hii. Hapa ndo mapenzi yanapokuwa magumu, mchumba wangu jamaa zangu 3 walishawahi kutoka naye
Naona kama hali yangu ni mbaya kisaikolojia. Leo niliwah kutoka kazini maana sijisikii vizuri kabisa. Mwenzangu akanipigia simu nikamwambia nipo home. Mida ya saa 10 naye akaja anasema aliomba ruhusa kazini kwake pia.
Tumekaa ndani tukapika tukala tukawa tu sebuleni tunaangalia movie. Ile movie ilikuwa na mambo ya mapenzi. Nikawa nmesimamisha. Mchumba wangu akaja nlipokaa ili tuendelee maana ni week ya pili sasa hatujafanya.
Alipokuja kuishika na kuiweka... Hamu yangu iliniishia kabisa. Alishangaa maana haikuwah kutokea hata niwe naumwa anajua napenda sana hilo tendo. Akil yangu ilirudi kwa rafik zangu aliotembea nao. Nikiwaza nao aliwatendea hiv hiv...
Najua nina wivu lakini kwa haya ya huyu mchumba ya kutembea na rafiki zangu 3 yananipa ugumu sana. Natamana nsingefaham. Najuta kwa nini walinambia. Kila napomfikiria inanijia picha ya akina etoo na wenzie...
Inanitesa na ameniathiri sana. Nlikuwa najua of course kuwa aliwah na mahusiano. Lakini naumia ntamwoaje mwanamke ambaye wenzangu wanamjua undani wake vizur? Inaniuma. Nashindwa ... Leo nmeshindwa tena kufanya naye sex. Nalazimika kuvuta hisia za mwanamke mwingine inasimama. Akinishika nikimfikiria yeye inalala.
Nahitaj dawa nisahau hayo. Nataman kama ngepoteza kumbukumbu ya hayo. Inanitesa saa week ya pili. Yeye haonekani kuumia sana na hili.alisha take easy ananiuliza ndo yetu itakuwa lini. Anataka nimalizie kujitambulisha rasmi kwa ndugu zake wote. She is not affected at all.
Nahitaj kuweka akili sawa. Haiwezekani nitafute namna ya kuachana naye... Sikuwah kudhani mapenzi yangekuwa magumu hivi.
Naona kama hali yangu ni mbaya kisaikolojia. Leo niliwah kutoka kazini maana sijisikii vizuri kabisa. Mwenzangu akanipigia simu nikamwambia nipo home. Mida ya saa 10 naye akaja anasema aliomba ruhusa kazini kwake pia.
Tumekaa ndani tukapika tukala tukawa tu sebuleni tunaangalia movie. Ile movie ilikuwa na mambo ya mapenzi. Nikawa nmesimamisha. Mchumba wangu akaja nlipokaa ili tuendelee maana ni week ya pili sasa hatujafanya.
Alipokuja kuishika na kuiweka... Hamu yangu iliniishia kabisa. Alishangaa maana haikuwah kutokea hata niwe naumwa anajua napenda sana hilo tendo. Akil yangu ilirudi kwa rafik zangu aliotembea nao. Nikiwaza nao aliwatendea hiv hiv...
Najua nina wivu lakini kwa haya ya huyu mchumba ya kutembea na rafiki zangu 3 yananipa ugumu sana. Natamana nsingefaham. Najuta kwa nini walinambia. Kila napomfikiria inanijia picha ya akina etoo na wenzie...
Inanitesa na ameniathiri sana. Nlikuwa najua of course kuwa aliwah na mahusiano. Lakini naumia ntamwoaje mwanamke ambaye wenzangu wanamjua undani wake vizur? Inaniuma. Nashindwa ... Leo nmeshindwa tena kufanya naye sex. Nalazimika kuvuta hisia za mwanamke mwingine inasimama. Akinishika nikimfikiria yeye inalala.
Nahitaj dawa nisahau hayo. Nataman kama ngepoteza kumbukumbu ya hayo. Inanitesa saa week ya pili. Yeye haonekani kuumia sana na hili.alisha take easy ananiuliza ndo yetu itakuwa lini. Anataka nimalizie kujitambulisha rasmi kwa ndugu zake wote. She is not affected at all.
Nahitaj kuweka akili sawa. Haiwezekani nitafute namna ya kuachana naye... Sikuwah kudhani mapenzi yangekuwa magumu hivi.