Nahitaji msaada kwa atayeguswa

Nahitaji msaada kwa atayeguswa

Aisee nataman nikusaidie lakini sasa kuna muda unaweza kuzani ni mpigaji
 
Kwa atakaye kusaidia usifiche. Weka wazi hapa. Huna sababu saana kumtaja. Lakini wajulishe wananchi Kama umepata msaada wowote.
 
Uptade

Sikupata msaada ila kwasasa nipo ahueni | twende na maisha wakuu hakuna mbaya.
 
Aisee nataman nikusaidie lakini sasa kuna muda unaweza kuzani ni mpigaji

Msaidie tu bibie, utakuwa umetimiza hitaji na moja ya amri za Mungu nayo ni upendo..

Mengine ni Mungu atakulipa thawabu kwa msaada wako kwake,,
 
Back
Top Bottom